STRIKA

STRIKA

USILIKOSE

USILIKOSE

Friday, January 8, 2016

Simba inaoongoza kwa bao 1-0 dhidi ya JKU

SIMBA inaongoza bao 1-0 baada ya Jonas Mkude kuipatia bao la kichwa katika dakika ya 65. Pambano bado ni kali na kuna dalili za wapinzani wajadi Simba na Yanga kutokutana katika hatua ya nusu fainali.

No comments:

Post a Comment