STRIKA

STRIKA

USILIKOSE

USILIKOSE

Friday, January 8, 2016

Simba yaisaka Yanga kimtindo

DAKIKA 45 za kwanza za pambano la kukamilisha ratiba kati ya Simba na JKU zimemalizika matokeo yakiwa bao 0-0.
Pambano ni kali na Simba itajilaumu kwa kukosa angalau bao hata moja katika dakika hizo kutokana na kukosa mabao ya wazi.
Kama matokeo yataendelea hivi Simba itakuwa imeangukia mikononi mwa Yanga waliomaliza nafasi ya kwanza kwenye kundi B. URA wanaoongoza kundi A tayari imeshatinga nusu fainali, kama ilivyo kwa Mtibwa Sugar, lakini hakuna anayejua atacheza na nani Jumapili ijayo mechi za nusu fainali zitakazpochezwa jioni na usiku.

No comments:

Post a Comment