STRIKA

STRIKA

USILIKOSE

USILIKOSE

Sunday, January 8, 2017

Simba v Jang'ombe Boys sasa ni mapumziko

PAMBANO la Simba na Jang'ombe Boys kwa sasa ni mapumziko kwenye Uwanja wa Amaan, Zanzibar, huku Wekundu hao wa Msimbazi wakiwa mbele kwa bao 1-0.
Bao lililofungwa na Laudit Mavugo na kuifanya Simba iwe kwenye nafasi kubwa ya kuvaana na Yanga katika mechi ya nusu fainali kama matokeo yatabaki yalivyo, kwani Mnyama atamaliza nafasi ya kwanza na pointi 10.

No comments:

Post a Comment