STRIKA

STRIKA

USILIKOSE

USILIKOSE

Sunday, January 8, 2017

Mavugo atupia jingine kuipeleka Simba nusu fainali

MRUNDI Laudit Mavugo ameendelea kuwafunga mdomo waliokuwa wakimponda baada ya kutupia tena bao la pili dakika ya 54 na kuifanya timu yake ya Simba kuwa mbele kwa mabao 2-0 dhidi ya  Jang'ombe Boys.
Kama matokeo yatabaki kama yalivyo kwa Simba kushinda mchezo huo haitakuwa na kingine ila kuvaana na Yanga walioshika nafasi ya pili katika kundi B la michuano ya Kombe la Mapinduzi 2017.

No comments:

Post a Comment