STRIKA

STRIKA

USILIKOSE

USILIKOSE

Sunday, May 6, 2018

Dante ameumia

BEKI na nahodha wa mchezo wa leo, Dante ameumia na anapatiwa matokeo. Bado dakika mbili mpira kumalizika. Yanga wapo nyuma mabao 3-0. Yohana Mkomola pia kaingia kuchukua nafasi ya Yusuf Mhilu aliyeshindwa kabisa kufurukuta.

No comments:

Post a Comment