STRIKA

STRIKA

USILIKOSE

USILIKOSE

Sunday, May 6, 2018

Mambo bado magumu

Pambano la Yanga na USM Alger bado linaendelea na Yanga wanapigwa bao la pili baada ya kona ya wenyeji kusindikizwa wavuni na Farouk Chafai dakika ya 33 kipa Rostand akifanya makosa yale yale na kufungwa bao rahisi. Mpira wa Chafai unamaliziwa kimiani na Pius Buswita.
USM Alger 2 Yanga 0

No comments:

Post a Comment