STRIKA

STRIKA

USILIKOSE

USILIKOSE

Sunday, May 6, 2018

Rafael anatoka Abdul anaingia

Juma Abdul
YANGA imefanya mabadiliko ya kumtoa Rafael Daud na kumuingiza Juma Abdul ikiwa ni mbinu ya benchi la ufundi la Yanga kuimarisha ulinzi baada ya kuona wasipokuwa makini watapigwa nyingi.
Dakika ya 65' USM 3 Yanga 0

No comments:

Post a Comment