STRIKA

STRIKA

USILIKOSE

USILIKOSE

Sunday, May 6, 2018

Yanga yatanguliwa bao la mapema

DAKIKA ya Nne tu, Yanga wamesharuhusu bao la kuongoza la Waarabu wa USM Alger baada ya mabeki na kipa Youthe Rostand kushindwa kuokoa krosi pasi iliyoungwa na Oussama Darfalou
USM Alger 1 Yanga 0.

No comments:

Post a Comment