STRIKA

STRIKA

USILIKOSE

USILIKOSE

Sunday, May 6, 2018

Pengo la Tshishimbi, Chirwa, Ajibu laonekana


Bado dakika tano kabla ya mapumziko, lakini Yanga bado inahaha kurejesha mabao waliyotanguliwa na wenyeji wao, huku mapengo ya nyota watano waliobaki jijini Dar es Salaam yakionekana wazi.
Nyota hao waliokosekana kwenye mchezo huo unaoendelea mjini Algiers ni Papy Kabamba Tshishimbi, Obrey Chirwa, Kelvin Yondani, Ibrahim Ajibu na Thabani Kamusoko.

No comments:

Post a Comment