STRIKA

STRIKA

USILIKOSE

USILIKOSE

Sunday, May 6, 2018

Ni mapumziko sasa

Pambano la Yanga na USM Alger limemaliza dakika 45 na wachezaji wanaenda mapumziko kupewa mawaidha kabla ya kurudi uwanjani kwa kipindi cha pili. USM wapo mbele kwa mabao 2-0.
Wenyeji wameposses mpira kwa asilimia 73 kwa 27 za Yanga.

No comments:

Post a Comment