STRIKA

STRIKA

USILIKOSE

USILIKOSE

Monday, April 1, 2013

Wakati Dar maiti zikifikia 36, maafa mengine yatokea Arusha


Picture

Picture

Picture

WAKATI idadi ya maiti zilizopatikana kwenye ajali ya jengo la ghorofa 16 lililoporomoka juzi jijini Dar es salaam ikifikia 36, habari kutoka Arusha zinasema kuwa watu wanaokadriwa kufikia 20 wamefukiwa kifusi katika machimbo ya changarawe, yaliyopo eneo la Mashono, Arusha.
 Taarifa zinasema kuwa kwa sasa wanajeshi wanaendelea na zoezi la uokoaji na tayari majeruhi mmoja ameokolewa na miili ya watu watatu.
MICHARAZO inaendelea kufuatilia taarifa hizo na itawafahamisha hapa hapa.

No comments:

Post a Comment