STRIKA

STRIKA

USILIKOSE

USILIKOSE

Thursday, June 13, 2013

BREAKING NEWS: MSANII LANGA KILEO AFARIKI DUNIA


HABARI zilizotufikia hivi punde zinasema kuwa nyota wa zamani wa Coca Coca Pop Stars na mkali wa miondoko ya Hop Hop, Langa Kileo (Pichani) amefariki dunia.
Habari hizo zinadai  kuwa msanii huyo alikumbwa na Malaria kali sana hali iliyopelekea kukimbizwa Hospitali ya Muhimbili jana na kukumbwa na mauti.
Tunaendelea kufuatilia kujua ukweli na kama ni kweli tunamuomba Mungu aipokee roho ya marehemu na tunatoa pole kwa familia, ndugu na jamaa wa msanii huyo ambaye hivi juzi tu alinukuliwa akiwa mbioni kuachia video ya wimbo wake mpya wa 'Rafiki wa Kweli' baada ya kupona katika janga la matumizi ya dawa za kulevya.

No comments:

Post a Comment