STRIKA

STRIKA

USILIKOSE

USILIKOSE

Friday, July 19, 2013

Miili ya wanajeshi waliouwawa Darfur kurejeshwa nchini kesho

http://www.raiamwema.co.tz/sites/default/files/styles/slideshow/public/field/image/307_jwtz.jpg?itok=8L3GOhTM
Miili ya wanajeshi hao ilipokuwa ikiagwa na askari wenzao nchini Sudan

MIILI ya wanajeshi waliouwawa katika mji wa Darfur, nchini Sudan inatarajiwa kuwasili nchini kesho kuanzia majira ya saa 4 asubuhi kwa ajili ya mazishi yake.
Wanajeshi hao waliokuwa kwenye jeshi la kulinda amani la Umoja wa Mataifa, walishambuliwa asubuhi ya Jumamosi iliyopita na waasi wanaopigana na serikali ya Sudan katika jimbo hilo la Darfur wakati wakisindikiza msafara ambaopo askari wengine akiwemo Polisi wa Tanzania walijeruhiwa.
Taarifa zinasema miili hiyo itapokelewa kesho kwa heshima zote kabla ya kufanyiwa taratibu za kuagwa kitaifa kisha kuzikwa kwa kushirikiana na familia zao.

No comments:

Post a Comment