STRIKA

STRIKA

USILIKOSE

USILIKOSE

Tuesday, June 10, 2014

Uruaguay watua Brazil wakiwa na tumaini kubwa, kisa...!

KIKOSI cha Uruguay kimetua Brazil kwa ajili ya Kombe la Dunia na mshambuliaji Luis Suarez amewasili nao akionekana kuwa fiti na tayari kuwasha moto.
Timu hiyo ya Amerika Kusini imetua mjini Belo Horizonte jana, kwa ajili ya maandalizi ya mwisho kabla ya kuanza kuwania Kombe la michuano hiyo mikubwa zaidi duniani.
Uruguay inatarajiwa kucheza mechi yake ya kwanza ya michuano hiyo Jumamosi dhidi ya Costa Rica, kabla ya kumenyana na England na Italia katika mechi nyingine za Kundi D.

No comments:

Post a Comment