STRIKA

STRIKA

USILIKOSE

USILIKOSE

Friday, July 18, 2014

Toni Kroos atambulishwa Real Madrid

Done deal: Kroos holds up his No 8 shirt at his unveiling in Madrid
Toni Kroos akiwa na jezi yake mpya ya Real Madrid

Golden boy: The former Bayern Munich man was integral during Germany's World Cup triumph
Kroos akipiga akionyesha maufundi yake

MCHEZAJI Toni Kroos amekamilisha uhamisho wake wa Pauni Milioni 24 kujiunga na Real Madrid kutokea kwa mabingwa wa Ujerumani, Bayern Munich.
Bayern walitangaza jana usubuhi kuwa wamefikia makubaliano na Real juu ya mchezaji huyo na uhamisho utafanyika mara moja.
Mkataba wa Kroos ilikuwa unamalizika majira ya kiangazi mwakani na mshindi huyo wa Kombe la Dunia amesaini mkataba wa miaka sita katika dimba la Santiago Bernabeu.
Kroos alitambulishwa rasmi jana na hapa chini ni baadhi ya picha zilizopigwa katika utambulisho wake ndani ya dimba la Bernabeu.
Kroos ametua Real akiiacha kwenye mataa klabu ya Manchester United iliyokuwa ikimfukuzia.

No comments:

Post a Comment