STRIKA

STRIKA

USILIKOSE

USILIKOSE

Friday, August 15, 2014

Ronaldo, Manuel Neuer kuwania tuzo Mchezaji Bora Ulaya

KWA muda wa miaka minne mfululizo Cristiano Ronaldo amekuwa katika orodha ya mwisho ya wachezaji bora wa UEFA ambao wamekuwa wakiwania tuzo ya Ulaya na mara hii pia yumo katika orodha hiyo akiwa pamoja na Arjen Robben na Manuel Neuer.

Mshambuliaji huyo wa Madrid Ronaldo atakuwa akitegemea kutwaa tuzo hiyo kwa mara ya kwanza baada ya kuingia katika kinyang'anyiro hicho tangu kuanza kuteuliwa mwaka 2011 lakini akishindwa kutwaa tuzo hiyo katika kila igizo.

Mshindi huyo wa Ballon D'Or alikuwa na msimu mzuri uliopita akishinda tuzo ya Copa del Rey pamoja na taji la 10 kwa Madrid la michuano ya European Cup - La Decima.

Cristiano Ronaldo akifunga goli la rekodi la 17 katika michuano ya vilabu bingwa Ulaya
Strike: Robben won the league and cup double for Bayern Munich and scored three World Cup goals for Holland
Robben alishinda mataji mawili ya ligi na kikapu kwa Bayern Munich na alifunga na aliifungia magoli matatu Uholanzi katika kombe la dunia
Glory: Manuel Neuer (centre) won the league and cup double with Bayern and the World Cup with Germany
Furaha: Manuel Neuer (katikati) alishinda Ligi na vikapu mara mbili akiwa na Bayern na kombe la dunia 
Saba waliokwama kutinga hatua ya mwisho




4) Thomas Muller (Germany, Bayern Munich) - 39 points 
5)Philipp Lahm (Germany, Bayern Munich) - 24 points
=) Lionel Messi (Argentina, Barcelona) - 24 points
7) James Rodriguez (Colombia, AS Monaco, now at Real Madrid) - 16 points 
8) Luis Suarez (Uruguay, Liverpool, now at Barcelona) - 13 points
9) Angel Di Maria (Argentina, Real Madrid) - 12 points
10) Diego Costa (Spain, Atletico Madrid, now at Chelsea) - 8 points

No comments:

Post a Comment