STRIKA

STRIKA

USILIKOSE

USILIKOSE

Saturday, September 20, 2014

Al Ahly yaifyatua Coton Sport kwao, Sewe, Leopards 0-0

http://english.ahram.org.eg/Media/News/2014/9/20/2014-635468104658720940-872.jpg
Al Ahly
WALIOKUWA mabingwa watetezi wa Ligi ya Mabingwa Afrika Al Ahly ya Misri imeanza vyema mechi yake ya Nusu Fainali ya Kombe la Shirikisho baada ya kuizabua Coton Sport ugenini kwa  bao 1-0.
Bao pekee lililowazamisha wenyeji mjini Goroua Cameroon liliwekwa kimiani na  Waleed Soliman dakika ya 72. Timu hizi zitarudiana wiki ijayo kujua itakayotinga Fainali ya michuano hiyo.
Katika mechi nyingine ya Kombe hilo timu za Sewe Sport ya Ivory Coast na AC Leopards ya Kongo zilitoshana nguvu kwa kutoka suluhu.

No comments:

Post a Comment