STRIKA

STRIKA

USILIKOSE

USILIKOSE

Sunday, September 7, 2014

Hatma ya Emmanuel Okwi ni leo

https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEhyoheA_Uvou9fxK2lFEGUZbhn5TzQaXgeDX15K4eZ7FQT2g7cE9KO24lO_LVH098dn1hZ_lHvwZEzvCB_Ke7bhHVBixnOx_omri3i1GZytGeRr1DJPfh0RnPBCgj8WCSXyqSZGtQ41kBgJ/s1600/okwiiii.jpg
Kusalia katika uzi huu wa Simba au wa Yanga kama anavyoonekana chini pichani?


http://www.ibn-tv.com/wp-content/uploads/2014/01/Okwi.jpg

HATMA ya Mganda Emmanuel Okwi inatarajiwa kufahamika leo wakati Kamati  ya Sheria na Hadhi ya Wachezaji ya Shirikisho la Soka Tanzania, TFF inayopongozwa na Mwanasheria Richard Sinamtwa itakapokutana kutoa maamuzi kamili dhidi ya kesi yake.
Okwi aliyekuwa akiiichezea Yanga anapingwa na klabu yake hiyo ya zamani kusajiliwa Simba kwa madai bado anao mkataba, hali iliyoleta utata kama alivyosajiliwa na Yanga msimu uliopita akitokea SC Villa.
Msimu uliopita hali kama hiyo ilijitokeza kwa mchezaji Mrisho Ngassa aliyekuwa akigombewa na Simba na Yanga na hatimaye, kufungiwa mechi sita na kulimwa faini. Je, ni Simba au Yanga watakaohalalishiwa Okwi? Tusubiri

No comments:

Post a Comment