STRIKA

STRIKA

USILIKOSE

USILIKOSE

Thursday, November 6, 2014

Messi achana naye, aitungua Ajax 2-0 na kumfikia Raul


Lionel Messi celebrates scoring his first goal against Ajax on Wednesday night
Messi akishangilia moja ya mabao yake yaliyomfanya amfikie raul
Messi heads into the Ajax goal for his 70th Champions League goal... he later scored his 71st
Messi akifunga  bao dhidi ya Ajax
NYOTA wa klabu ya Barcelona, Lionel Messi usiku wa jana ameweka relodi ya kumfikia kinara wa mabao wa muda wote wa Ligi ya Mabingwa, Rau baada ya kufunga mabao mawili wakati barcelona wakiilipua Ajax kwa mabao 2-0.
Messi amefikisha jumla ya mabao 71 na kulingana na Raul aliyewahi kutamba Real Madrid.
Mwanasoka Bora huyo wa mara nne wa zamani wa dunia alifunga mabo la kwanza kwa kichwa kabla ya kuongeza jingine na kufikia rekodi hiyo iliyowekwa miaka 10 iliyopita na Raul.
Ushindi huo umeifanya Barcelona kukamata nafasi ya pili ikiwa na pointi 9, moja ya vinara wa kundi F PSG ambayo ilishinda nyumbani 1-0 dhidi ya APOEL Nicosia na kulifanya kundi hilo kuzidi kuwa gumu bila kujua itakayofuzu hatua ya 16 Bora hadi michezo ijayo.

No comments:

Post a Comment