STRIKA

STRIKA

USILIKOSE

USILIKOSE

Sunday, December 21, 2014

Kumekucha Anfield! sasa mapumziko 1-1

Mathieu Debuchy akiisawazishia Arsenal bao dakika za majeruhi kabla ya mapumziko
Coutinho (10) kulia akiifungia Liverpool bao la kuongoza uwanja wa Anfield.

PAMBANO la Liverpool na Arsenal limeenda mapumziko matokeo yakiwa bao 1-1 baada ya wababe hao kutumia sekunde chache kabla ya mapumziko kupata mabao yake, wenyeji Liverpool wakianza kupitia Phillipe Coutinho katika dakika ya 45.
Hata hivyo dakika mbili za nyongeza, Mathieu Debuchy aliisawazishia timu yake ya Arsenal na kufanya mambo yaendelee kuwa magumu tofauti na mechi kama hiyo msimu uliopita ambapo mpaka dakika ya 20 Liverpool walikuwa tayari wapo mbele kwa mabao 4-0.

No comments:

Post a Comment