STRIKA

STRIKA

USILIKOSE

USILIKOSE

Sunday, December 21, 2014

Zaidi ya Uuaji! Mwenye VVU amnyonyesha mtoto wa jirani

MWANAMKE mmoja raia wa Zimbabwe aliyenyonyesha mtoto wa jirani bila ruhusa anakabiliwa na kifungo cha karibu miaka miwili kwa kumwambukiza mtu HIV kwa kukusudia kwa kuwa yeye ni mwathirika.
Annie Mpariwa, 39, alifikishwa mbele ya mahakama ya Gaborone wiki iliyopita na kesi hiyo iliahirishwa hadi january 24 kuruhusu kipimo cha pili cha HIV kufanyiwa mtoto huyo.
Matokeo ya kwanza ya mtoto huyo yalionyesha hana virusi ilhali ya mama huyo yalikuwa na virusi. Mpariwa alikamatwa wiki jana kwa mashtaka ya usumbufu na iwapo mtoto huyo atapatikana na virusi, mashtaka hayo yatazidishwa hadi 'kumwambukiza mtu mwingine HIV kimakusudi.
Mama wa mtoto huyo wa miezi14, Nyasha Mironga,alisema kumwona mwanawe akinyonyeshwa na jirani wake lilikuwa ni jambo lililomshtua sana.
Kisa hicho kimetokea baada ya kupitishwa kwa sheria mpya ya HIV/Aids inayotoa adhabu kali zaidi kwa wale wanaowaambukiza.Je kama wewe ndio mwanao utachukua hatua gani?
ALWAYS POSITIVE ATTITUDE.

Copy and WIN : http://bit.ly/copy_win

No comments:

Post a Comment