STRIKA

STRIKA

USILIKOSE

USILIKOSE

Saturday, February 28, 2015

Mwili wa Kapteni Komba wahifadhiliwa Lugalo Hosp

http://api.ning.com/files/WeTmt906*BKaGszeajuNVr5dNk0HSypjN26QmHzMaFxTohOy6Y0MGC21Im0--55H01NauXCyaXGuZ4IFusMmfHQa9XH9hHlJ/CAPT.JOHNDAMIANOKOMBAMBUNGEMBINGAMANG.CCM.TEL.07442845.jpg
Kapteni Komba enzi za uhai wake
MWILI wa marehemu Kapteni John Komba umepelekwa kuhifadhiwa Hospitali ya kijeshi la Lugalo tayari kwa taratibu za mazishi ambayo hata hivyo hayajafahamika yafanyika lini na wapi.
Marehemu Komba alikumbwa na mauti jioni ya leo katika hospitali ya TMJ alipokimbiwa na wanafamilia yake kutokana na kuugua ghafla.\
Inadaiwa kuwa marehemu alikuwa akisumbuliwa na Presha na taarufa nyingine zikieleza ni ugonjwa kisukari.
MICHARAZO inaendelea kufuatilia taarifa zaidi na itawafahamisha, ila tunaendelea kutoa pole kwa wote walioguswa kwa namna moja au nyingine na kifo cha Kapteni Komba hususani wanasiasa na wadau wa muziki kwani marehemu alikuwa moja ya wapiganaji katika maendeleo ya sanaa hiyo husuani ubunifu wake wa mtindo wa ACHIMENENGULE aliotaka uwe utambulisho wa muziki wa Tanzania.

No comments:

Post a Comment