STRIKA

STRIKA

USILIKOSE

USILIKOSE

Saturday, February 28, 2015

Vumbi la Ligi Kuu England kutimka hivi

http://i1.chroniclelive.co.uk/incoming/article6534322.ece/alternates/s615/MUFC-v-SAFC.jpgWAKATI macho na masikio ya mashabiki wa soka wanaofuatilia Ligi Kuu ya England yataelekezwa kwenye michezo miwili pekee ya kesho, lakini hata leo kuna mechi kali zinazovuta hisia za wengi.
Pambano la Manchester United iliyotoka kulala ugenini, itakuwa ikivaana na Sunderland, kabla ya kesho wapinzani wao wa jiji la Manchester, Manchester City kuwavuata Liverpool nyumbani kwao Anfield na Arsenal kuwakaribisha Everton.
Chelsea na Tottenham Hotspur wenyewe watakuwa na jukumu moja la kuwania taji la Kombe la Ligi (Capital One) kwwenye uwanja wa Wembley, jijini London.
Ratiba kamili ya ligi hiyo wikiendi hii ipo hivi;
Jumamosi Februari 28
15:45 West Ham v Crystal Palace
18:00 Burnley v Swansea
18:00 Man United v Sunderland
18:00 Newcastle v Aston Villa
18:00 Stoke v Hull
18:00 West Brom v Southampton

Jumapili: Machi 1
15:00 Liverpool v Man City
17:05 Arsenal v Everton
Jumanne: Machi 3
22:45 Aston Villa v West Brom
22:45 Hull v Sunderland 
22:45 Southampton v Crystal Palace

No comments:

Post a Comment