STRIKA

STRIKA

USILIKOSE

USILIKOSE

Saturday, February 28, 2015

VITA YA LIGI KUU BARA BADO MBICHI KABISA!!

Simba angalau sasa inapumua
Polisi Moro
JKT Ruvu waliokuwa mapumzikoni wikiendi hii kabla ya kuvaana na Yanga Jumatano
Mtibwa Sugar wanaozidi kuporomoka
UGUMU wa Ligi Kuu Tanzania unazidi kuongezeka wakati ligi hiyo inaingia raundi ya 16 baada ya matokeo ya michezo ya leo.
Simba ambao wamepanda hadi nafasi ya tatu kwa muda wakisubiri kujua hatma ya pambano la Stand Utd na Kagera Sugar angalau sasa inapumua baada ya ushindi wa mabao 5-0 iliyopta kwa Prisons wakati wanachama na viongozi wao wakielekea kwenye Mkutano Mkuu utakaofanyika kesho Bwalo na Maafisa wa Polisi Oysterbay.
Hata hivyo hali ni mbaya kwa timu za Prisons ya Mbeya na Mgambo JKTambazo nafasi mbili za chini
Prisons Mbeya wana kila dalili za kurudi walipotoka kwa kuzibeba timu zote ikiwa na pointi 12 tu wakati wenzao kwa kipigo ilichopata kwa Coastal wanapointi zao 14 tu.
Ebu tazama msimamo na mbio za kuwania KIatu cha Dhahabu zilivyo mpaka sasa Mnigeria Absolom Chiidebele akiwafukizia waliopo juu yake.
MSIMAMO LIGI KUU TANZANIA BARA 2014-2015
                            P   W    D    L    F    A   GD   Pts
01.  Yanga            15  09  04  02  21  08  13  31
02.  Azam             15  07  06  02  22  12  10  27
03.  Simba            16  05  08  03  20  12  08  23
04. Coastal Union  16  05  07  04  12  10  02  22
05. Kagera Sugar  15  05  06   04  12  11  01  21
06. Ruvu Shooting16  05  06   05  11  12   -1  21
07. Mtibwa Sugar  14  04  07   03  15  14  01  19
08. Polisi Moro      15  04  07   04  12  13   -1  19
09. JKT Ruvu        15  05  04   06  14  15   -1  19
10. Stand Utd       16  04  06   06  14  18   -4  18
11. Mbeya City      16  04  06  06   11  15   -4  18
12. Ndanda Fc       15  04  04  07   13  18   -5  16
13. Mgambo JKT    14  04  02  08   07  20  -13 14
14. Prisons            16  01  09   06   10  20  -10 12
Wafungaji:
8- Didier Kavumbagu(Azam)
7- Rashid Mandawa (Kagera Sugar)
 

6- Samuel Kamuntu (JKT Ruvu), Ame Ali (Mtibwa), Simon Msuva (Yanga)
 

5-Danny Mrwanda (Yanga), Kipre Tchetche (Azam)Emmanuel Okwi (Simba), Absalom Chiibidele (Stand Utd)

4- Rama Salim (Coastal),  Ibrahim Ajibu (Simba), Nassor Kapama (Ndanda), Heri Mohammed,(Stand Utd)


3-
Ally Shomari (Mtibwa),  Jacob Massawe (Ndanda), Frank Domayo (Azam), Malimi Busungu (Mgambo), Atupele Green (Kagera), Amissi Tambwe, Mrisho Ngassa (Yanga), Yahya Tumbo (Ruvu Shooting)
 

2- Shaaban Kisiga, Dan Sserunkuma, Elias Maguli (Simba), Salum Kanoni, (Kagera Sugar), Aggrey Morris (Azam),  Najim Magulu, Jabir Aziz (JKT Ruvu), Jerry Tegete, Coutinho (Yanga), Ibrahim Kihaka (Prisons), Mussa Mgosi (Mtibwa), Heri Mohammed, Mussa Said (Stand Utd), Ally Nassor (Mgambo), Nicolaus Kabipe (Polisi), Peter Mapunda (Mbeya City) Lutimba Yayo (Coastal Union)

No comments:

Post a Comment