STRIKA

STRIKA

USILIKOSE

USILIKOSE

Saturday, February 28, 2015

Simba yairarua Prisons, 'dogo' apiga hat trick

HAT Trick ya kwanza msimu huu iliyowekwa Ibrahim Hajibu na mengine ya Emanuel Okwi na Ramadhani Singano 'Messi' yameiwezesha Simba kuirarua Prisons Mbeya katika mechi ya Ligi Kuu Tanzania Bara.
Hajibu alifunga mabao katika dakika za 15, 21 na 42, kabla ya Okwi kuongeza dakika ya 73 na Messi kumaliza kazi dakika ya 83.
Ushindi huo umeifanya Simba kufikisha pointi 23 na kuendelea kusalia nafasi ya tatu nyuma ya Kagera Sugar.

No comments:

Post a Comment