STRIKA

STRIKA

USILIKOSE

USILIKOSE

Friday, May 20, 2016

Breaking News...! Rais Magufuli amtumbua Waziri Kitwanga, kisa...!

Aliyekuwa Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Charles Kitwanga
RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dk. John Pombe Magufuli ametengua uteuzi wa Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Charles Kitwanga kwa kosa la kuingia Bungeni kujibu maswali akiwa bwii kwa kilaji. 
Taarifa ya Ofisi ya Rais Ikulu imefunguka kama inavyosomeka hapo chini;


No comments:

Post a Comment