STRIKA

STRIKA

USILIKOSE

USILIKOSE

Friday, May 20, 2016

Mabingwa wa England watua salama Bangkok kufanya ziara

https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEg3yKTuB-V1tPxvVO9VpkD_9VYqmNd6L8YltQicHRoQvYktVry5gYdo4tG3wXS7FEJmC0neWxEI8ur1qyG59TwfiDQhxmYeX-KDnTPMpfEUp4Y9DHaomN4BeeqPkQnCBZWHuHV5e3Dnko4v/s1600/asian+fc+owners+5+vichai+srivaddanaprabha.jpg
Tajiri wa Leicester City, Vichai Srivaddhanaprabha (kulia) akichekelea taji la EPL
MABINGWA wa soka wa England, Leicester City wapo Bangkok, Thailand kwa ajili ya ziara ya kimichezo ikishangilia taji lao la kwanza tangu kuasisiwa kwao zaidi ya karne moja na ushei.
Wakali hao wakiongozwa na Kocha wao, Claudio Ranieri walitua jana katika nchi hiyo ambayo ni asili ya mmiliki wao Vichai Srivaddhanaprabha, ambaye ana furaha kwa mafanikio ya vijana wake, ambao hawakupewa nafasi ya kufunika msimu huu ikizingatiwa msimu uliopita waliponea chupuchupu kushuka daraja.
Kocha Claudio Ranieri

Nahodha wa Leicester City Wes Morgan
Mlinda mlango wa Leicester 

No comments:

Post a Comment