STRIKA

STRIKA

USILIKOSE

USILIKOSE

Friday, May 31, 2013

AJALI: AFA KWA KUANGUKIA KICHWA AKIPANDA DALA DALA ILALA

afariki-akidandia-daladala-0
afariki-akidandia-daladala
Add caption


MTU mmoja ambaye jina lake bado halijafahamika, amefariki dunia baada ya kuteleza na kuanguka wakati alipokua akijaribu kudandia Daladala maeneo ya Ilala Boma, Jijini Dar es Salaam leo. Marehemu huyo baada ya kuanguka na kupiga kichwa kwenye lami, alipasuka kichwa na kuvuja damu nyingi kichwani, na kufariki katika eneo la tukio.
 
Credit:Superstarstz

No comments:

Post a Comment