STRIKA

STRIKA

USILIKOSE

USILIKOSE

Monday, June 10, 2013

KIBANDA USO KWA USO NA DK BILAL JIJINI DAR ES SALAAM


2 7b5b3
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akizungumza na Mhariri wa Jukwaa la Wahariri na Mhariri Mtendaji wa New Habari (2006) Ltd, AbsalomKibanda, wakati alipofika ofisini kwake Ikulu jijini Dar es Salaam, leo Juni 10, 2013 kwa mazungumzo. Kibanda alimtembelea Mhe. Makamu ili kumwelezea hali yake kiafya inavyoendelea baada ya matibabu. Picha na OMR

No comments:

Post a Comment