STRIKA

STRIKA

USILIKOSE

USILIKOSE

Monday, June 10, 2013

TCRA yaichimba mkwara Star Tv, kisa kujitoa Startimes




Mkurugenzi Mkuu wa TCRA Prof. John Nkoma akitoa maamuzi kuhusu kujitoa kwa kituo cha Star Tv katikka king'muzi cha Star Times.

MAMLAKA ya Mawasiliano nchini, TCRA imeagiza kituo cha runinga cha Star tv kurejesha channel yake mara katika  Star Times kabla ya saa kumi jioni leo.

Aidha Star Times na Star TV wameelezwa kuwa wote wamevunja sheria ya Mawasiliano ya Kielektroniki na Posta ya 2010 na Kanuni zake na kutakuwa kujitetea tarehe 17 Juni 2013.

Agizo la kurudishwa kwa Chaneli ya Star TV linatakiwa kutekelezwa ili kuhakikisha kuwa wananchi hawanyimwi haki ya kupata habari.

Vile vile wote wametakiwa kufuata Sheria inapotokea kutokuafikiana badala ya kutoa maamuzi bila kumshirikisha Mdhibiti (TCRA

No comments:

Post a Comment