STRIKA

STRIKA

USILIKOSE

USILIKOSE

Thursday, June 27, 2013

Safisha Jiji yaendelea kuwaliza wafanyabiashara Dar


ASKARI WA MANISPAA YA  YA KINONDONI WAKISHIRIKIANA ASKARI JESHI LA POLISI LA KUZUIA GHASIA FFU WALIFANYA OPERESHENI SAFISHA JIJI KATIKA ENEO LA STANDI YA MABASI YA DALADA MWENGE LEO









Opresheni safisha jiji inayoendelea jijini Dar imeendelea kuwaacha wamachinga na wafanyabiashara wengine wakitimuliwa katika maeneo waliyozoea kujipatia riziki kaa inavyoonekana pichani hali ilivyokuwa Mwenge baada ya majuzi kufanywa hivyo eneo la Manzese siku chache operesheni hiyo ilipofanyika Posta.

No comments:

Post a Comment