STRIKA

STRIKA

USILIKOSE

USILIKOSE

Monday, July 1, 2013

MAUAJI YA KUTISHA KWA VICHANGA MKOANI MBEYA, INATISHA!

Kichanga kikiwa kinaelea kwenye mto mita chache toka eneo la Mabatini

Wakazi wa Mbeya wakishuhudia unyama aliofanyiwa kichanga hicho
Askari Polisi aklikiopoa kitoto hicho toka mtoni
ASKARI WA JESHI LA POLISI AKIWA ANAKIWEKA KICHANGA HICHO NDANI MFUKO BAADA YA KUKITOA KUTOKA MTONI
Watoto nao wakishangaa kichanga hicho kilipokuwa kikiopolewa mtoni.
Huyu ndiye aliyebainika kukitupa kichanga chooni eneo la Stereo, Maanga, mjini Mbeya
Mwenyekiti wa mtaa wa Maanga, Mary Mwansankinga akiwa haamini alichokiona machoni mwake.
Asakri wa Jeshi la Zimamoto na Ukokozi wakihangaika kutaka kukiokoa kichanga kilichotuipwa chooni.
Baadhi ya mashuhuda wa tukio la mtaa wa Maanga
Hatimaye askari wanafanikiwa kukiopoa kichanga hicho cha kiume kutoka chooni.
 BAADHI YA WAKAZI WAKISHANGAA BAADA YA KITOTO KUOPOLEWA
 ASKARI WA ZIMAMOTO BAADA YA KUOSHA KICHANGA HICHO AMBACHO  KILIZALIWA KATIKA UMRI WAKE
 WANANCHI WAKILIA KWA UCHUNGU BAADA YA KUSHUHUDIA KICHANGA HICHO BAADA YA KUOPOLEWA 
 JESHI LA POLISI PAMOJA NA ASKARI WA ZIMA MOTO WAKIONDOKA ENEO LA TUKIO
HII NI NYUMBA AMBAMO MTOTO ALITUPWA CHOONI , WATU WANAJIULIZA WENGINE WANAANDAMANA KWENYE NYUMBA  ZA MAOMBI NA WAGANGA KUTAFUTA WATOTO WENGINE WANAWATUPA BILA YA KUWA NA HURUMA WALA HOFU YA MUNGU. 

PICHA NA MBEYA YETU

No comments:

Post a Comment