STRIKA

STRIKA

USILIKOSE

USILIKOSE

Sunday, October 20, 2013

Al Ahly yaifuata Orlando Pirates fainali za mabingwa Afrika

Al Ahly-caf-cl-final-2013
Al Ahly
NATIONAL Al Ahly ya Misri imefanikiwa kupenya katika Fainali za Ligi ya Mabingwa Afrika baada ya kuing'oa Cotton Sports ya Cameroon kwa mikwaju ya penati 7-6 katika pambano la nusu fainali ya pili iliyosiha muda mfupi uliopita.
Al Ahly ikiwa nyumbani imelazimishwa sare ya bao 1-1 na kufanya matokeo kuwa 2-2 na kulazimisha kupigiana penati ambapo wenyeji walipata 7 dhidi ya 6 za Wacameroon ambao Mohammewd Abo Trika alikosa mkwaju wake wakati akifungua hatua hiyo ya kupigianja penati.
Wenyeji walianza kupata bao dakika ya tatu tu kupitia kwa Abdallah El Said kabla ya wageni kusawaxzisha kipindi cha pili.

No comments:

Post a Comment