STRIKA

STRIKA

USILIKOSE

USILIKOSE

Sunday, October 20, 2013

Tottenham yainyoa Aston Villa kwao EPL

Andros Townsend (right) sends in the cross from which he scored for Tottenham at Aston Villa
Andros Townsend akiifungia Spurs bao la kwanza katika mechi ya leo

MABAO mawili ya kila kipindi yaliiwezesha Tottenham Hotspurs kuibuka na ushindi wa mabao 2-0 Aston Villa ikiwa nyumbani kwao katika Ligi Kuu ya England.
Andros Townsend aliianza kuifungia Spurs bao dakika ya 31 na kudumu hadi kipindi cha kwanza kilipoisha na Saldado aliiongezea vijana wa Andre Villas Boaz bao dakika ya 69 na kuifanya timu hiyo ichupe kutoka nafasi ya saba hadi nafasi ya tano ikifikisha pointi 16.
Ligi hiyo inatarajiwa kuendelea tena kesho kwa pambano moja baina ya Crystal Palace itakayoialika Fulham.


No comments:

Post a Comment