STRIKA

STRIKA

USILIKOSE

USILIKOSE

Monday, February 24, 2014

Tomas Rosicky haondoki Arsenal-Wenger

http://img.thesun.co.uk/aidemitlum/archive/00861/Tomas_Rosicky_861146a.jpg
Tomas Rosicky
MENEJA wa Arsene Wenger, amethibitisha kuwa, Kiungo kutoka Czech Tomas Rosicky atasalia katika kikosi hicho hata baada ya msimu huu.
Rosicky aliyejiunga na Arsenal mwaka 2008 akitokea Borussia Dotmund ya Ujerumani na ameichezea klabu hiyo jumla ya mechi 208 mpaka sasa.
Kiungo huyo mwenye umri wa miaka 33 amekuwa hapati nafasi katika kikosi cha kwanza kwa siku za karibuni, jambo lililozua maneno kwamba huenda angeondoka mapema klabu hapo.
Lakini kocha Wenger alinukuliwa jaa akisisitiza kuwa mchezaji huyo ataendelea kusalia klabu kwao kwa msimu mwingine ujao.

No comments:

Post a Comment