STRIKA

STRIKA

USILIKOSE

USILIKOSE

Saturday, February 15, 2014

Wigan Athletic yaifuata Sunderland FA Cup

Wigan midfielder Ben Watson (second left) powers in a goal against Cardiff in their FA Cup tie
Wigan midfielder Ben Watson
KLABU ya Wigan Athletic imeifuata Sunderland katika hatua ya Robo Fainali ya michuano ya Kombe la FA baada ya kuing'oa Cardiff City kwa mabao 2-1 katika mechi iliyomalizika muda mchache uliopita.
Wigan walipata ushindi huo ugenini kwa mabao Chris McCann katika dakika ya 18 na Ben Watson aliyefunga bao dakika ya 40, licha ya wenyeji ilipata bao la kufutia machozi katika dakika ya 27 kupitia Fraizer Campbell.
Pambano lingine la michuano hiyo kati ya Manchester City dhidi ya Chelsea limeshaanza na wenyeji City wameshafunga bao moja lililofungwa na Stevan Jovetickatika dakika ya 16 na kwa sasa mchezo huo upo ndani ya dakika ya 20.






No comments:

Post a Comment