STRIKA

STRIKA

USILIKOSE

USILIKOSE

Sunday, March 23, 2014

Mourinho adai PSG wna furaha kukutana nao

 http://www.mwebantu.com/wp-content/uploads/2012/12/Jose-Mourinho-Wallpaper-HD-2.jpg
KOCHA asiyeisha vituko na anayependa kucheza na akili za wapinzani wake, Jose Mourinho wa Chelsea amedai anaamini PSG wana furaha kubwa ya kupangiwa kukutana nao kwenye mechi ya Robo Fainali ya Ligi ya Mabingwa Ulaya.
Mabingwa hao wa Ligue 1 nchini Ufaransa, ilipangwa Ijumaa kukutana na Chelsea katika mechi ya mkondo huo wa 8 Bora na itaanzia nyumbani April 2 kabla ya kuwafuata 'the Blues' kwenye uwanja wao wa Stanford Bridge siku sita baadaye.
Akizungumza mara baada ya pambano lao la jana la Ligi Kuu ya England dhidi ya Arsenal na kuibuka na ushindi wa kishindo wa mabao 6-0, Mourinho alisema wapinzani wao hao wa Ufaransa ni wazuri na imani mechi yao itakuwa ngumu wakikutana mwezi ujao.

No comments:

Post a Comment