STRIKA

STRIKA

USILIKOSE

USILIKOSE

Tuesday, April 22, 2014

Newz Alert! Moyes hatimaye atimuliwa Man Utd, Giggs apewa shavu

Giggs (kushoto) akiwa na Moyes

Moyes kando ya Giggs, wawili hao wamebadilishana nafasi ya ukocha ndani ya klabu ya Manchester City
HATIMAYE klabu ya Manchester United imetangaza kumfuta kazi kocha wake, David Moyes na mkongwe Ryan Giggs amepewa 'shavu' la kuinoa timu hiyo kuelekea mwisho wa msimu.
Kwa mujibu wa taarifa ya mtandao wa klabu hiyo, Moyes amefutwa kazi baada ya miezi 10 na tayari ameshapewa barua ya kufutwa kazi ikiwa ni baada ya timu yake kupoteza mechi 11.
Nafasi ya kocha huyo imechukuliwa na mchezaji mkongwe wa klabu hiyo aliyedumu nayo kwa muda mrefu, Ryan Giggs wakati mipango ya kocha mpya ikifanywa, japo Louis van Gaal anatajwa kuja kubeba kibarua hicho baadaye.

No comments:

Post a Comment