STRIKA

STRIKA

USILIKOSE

USILIKOSE

Thursday, September 25, 2014

Hammer Q ana Kibakuli cha Mduara

MUIMBAJI mahiri wa muziki wa taarab, Hammer Q ameachiwa wimbo wake binafsi uitwao 'Kibakuli', wakati Rich Mavoko akiwaonyesha mashabiki wake video ya wimbo wake mpya uitwao 'Pacha Wangu'.
Hammer Q aliyewahi kutamba kwenye muziki wa kizazi kipya na wimbo wa 'Lady' kabla ya kuhamia kwenye taarab, ameachiwa wimbo huo uliopo kwenye mduara.
Wimbo huo umetengenezwa na mtayarishaji aitwae Anta Nation na  umeanza kutamba kwenye redio na mitandao ya kijamii.
Katika hatua nyingine Staa wa Roho Yangu, Rich Mavoko ameonjesha kionjo cha video yake mpya ya Pacha Wangu ambayo anatarajia kuachia siku ya leo pamoja na ngoma nyingine mpya.

No comments:

Post a Comment