
Stars iliyoenda Burundi ikitamba kwenda kulipa kisasi cha mabao 3-0 ilichopewa na wenyeji wao kwenye mechi ya kirafiki ya kuadhimisha Siku ya Uhuru, ilishindwa kutimiza tambo hizo kwa kukandikwa na wenyeo wao kwenye mechi hiyo ya ugenini.
Mabao yaliyoizamisha Stars yalifungwa katika dakika ya kwanza tu ya mchezo na Saido Ntibazonkiza kabla ya Yusuf Ndikumana kuongeza la pili kwenye dakika ya 29 na kuifanya Stars ipigane kusaka angalau bao la kufutia machozi bila mafanikio yoyote.
No comments:
Post a Comment