STRIKA

STRIKA

USILIKOSE

USILIKOSE

Friday, September 19, 2014

Uongozi Yanga kitanzini, TFF yaipa wiki 2

http://www.eatv.tv/sites/default/files/styles/detailpageimg/public/field/image/yangaa%20clement.JPG?itok=3lkNdTVBSHIRIKISHO la Soka Tanzania (TFF) limeitaka klabu ya Yanga kuwasilisha rasimu ya Katiba waliyoipitisha, kwa kuzingatia kuwa Muhtasari wa kikao cha Mkutano Mkuu wao wa Juni 1 mwaka huu umeainisha baadhi ya marekebisho waliyofanya kwa tulivyowaelekeza.
Yanga wanatakiwa kuwasilisha rasimu hiyo kabla ya Oktoba 5 mwaka huu. Ikiwa itakubaliwa na TFF, itapelekwa kwa Msajili wa Klabu na Vyama vya Michezo ili waweze kufanya uchaguzi wa viongozi wao.

No comments:

Post a Comment