STRIKA

STRIKA

USILIKOSE

USILIKOSE

Saturday, October 18, 2014

Newcastle United yaona Mwezi England

Gabriel Obertan
Raha ya ushindi kwa Newcastle United
KLABU ya Newcastle United baada ya kushindwa kupata ushindi wowote katika Ligi Kuu ya England tangu Agosti 30 imezinduka kwa kuichapa Leicester City kwa bao 1-0 katika mechi iliyomaliza hivi punde.
Bao pekee lililotoa afueni kwa timu hiyo iliyokuwa nyumbani lilifungwa na Gabriel Obartan katika dakika ya 71 akimalizia kazi nzuri ya Demba Pappis Cisse na kuifanya timu hiyo kufikisha jumla ya saba japo imeshindwa kuchomoka kwenye eneo la hatari la kushuka daraja.

No comments:

Post a Comment