STRIKA

STRIKA

USILIKOSE

USILIKOSE

Sunday, December 28, 2014

Tottenham Hotspur yaisimamisha Manchester United

Harry Kane tries to get away from Manchester United defender Paddy McNair as both sides looked to protect their recent unbeaten records
Harry Kane kimtoka beki wa Manchester United
Hugo Lloris makes himself big to deny Robin van Persie as United spurned several great chances in a goalless first half
Van Persie akikosa bao la wazi
Juan Mata sees his free kick deflected off the Tottenham wall and onto Hugo Lloris' post, resulting in a goalmouth scramble
Juan Mata akikosa bao la wazi langoni mwa Spurs
KLABU ya Tottenham Hotspur ikiwa uwanja wa nyumbani wa White Hartlane imeibana Manchester United na kwenda nao suluhu katika mfululizo wa mechi za Ligi Kuu ya England mchezo uliomalizika hivi punde.
Pamoja na kosa kosa nyingi katika kipindi cha kwanza, Manchester imeshindwa kuendeleza wimbi lake la ushindi na kuambulia pointi moja ugenini na kuifanya timu hiyo iendelee kukalia nafasi ya tatu.
Mashetani Wekundu walikosa mabao mengi ya wazi na kukosa makali kwenye kipindi cha pili na kufanya mechi hiyo iishe kwa timu hizo kutofungana na na kuifanya Spurs kufikisha pointi 31 na kuitambuka Arsenal wakati Mashetani Wekundu wamefikisha pointi 36.
Pambano linaloendelea kwa sasa ni lile la 'vinara' Chelsea iliyopo ugenini dhidi ya Southampton.

No comments:

Post a Comment