STRIKA

STRIKA

USILIKOSE

USILIKOSE

Tuesday, February 3, 2015

West Ham Utd hatarini kuenguliwa FA Cup

http://www.africatopsports.com/wp-content/uploads/2014/10/diafra-sakho.jpg
Diafra Sakho
KLABU ya West Ham United inakabiliwa na adhabu ya kuenguliwa katika michuano ya Kombe la FA kama Shirikisho la Soka Duniani-FIFA litawakuta na kosa kwa kumtumia mshambuliaji Diafra Sakho.
Sakho mwenye umri wa miaka 25 alijitoa katika kikosi cha Senegal kilichoshiriki michuano ya Mataifa ya Afrika kutokana na maumivu ya mgongo lakini aliifungia West Ham bao siku 18 baadae katika ushindi wa bao 1-0 waliopata dhidi ya Bristol City.
Sheria za FIFA hazimruhusu mchezaji kuichezea klabu yake kama anatakiwa kuwa na majukumu ya kimataifa. FIFA tayari imeshaanza kuchunguza suala hilo huku West Ham wenyewe wakikanusha kufanya lolote baya kwa kumtumia mchezaji huyo.
Kama West Ham watakutwa na kosa, FIFA inaweza kuliamuru Shirikisho la Soka la Uingereza-FA kubadilisha matokeo waliyopata dhidi ya Bristol City.

Copy and WIN : http://bit.ly/copy_win
KLABU ya West Ham United inaweza kukabiliwa na adhabu ya kuenguliwa katika michuano ya Kombe la FA kama Shirikisho la Soka Duniani-FIFA litawakuta na kosa kwa kumtumia mshambuliaji Diafra Sakho. Sakho mwenye umri wa miaka 25 alijitoa katika kikosi cha Senegal kilichoshiriki michuano ya Mataifa ya Afrika kutokana na maumivu ya mgongo lakini aliifungia West Ham bao siku 18 baadae katika ushindi wa bao 1-0 waliopata dhidi ya Bristol City. Sheria za FIFA hazimruhusu mchezaji kuichezea klabu yake kama anatakiwa kuwa na majukumu ya kimataifa. FIFA tayari imeshaanza kuchunguza suala hilo huku West Ham wenyewe wakikanusha kufanya lolote baya kwa kumtumia mchezaji huyo. Kama West Ham watakutwa na kosa, FIFA inaweza kuliamuru Shirikisho la Soka la Uingereza-FA kubadilis

No comments:

Post a Comment