STRIKA

STRIKA

USILIKOSE

USILIKOSE

Friday, February 1, 2013

NANI KAINGIA NA KUIOKA WAPI KLABU ZA LIGI KUU ENGLAND?

Nacho Monreal - ametua Arsenal

DIRISHA dogo la usajili wa Ligi Kuu ya England la Januari lilifungwa jana usiku. hapa tunakuletea orodha kamili ya nani ameingia nani ametoka katika klabu za Ligi Kuu ya England:


ARSENAL
Aliyeingia: Nacho Monreal [Paundi milioni 10 kutoka Malaga]

Walioondoka: Johan Djourou [kwa mkopo kwenda Hannover 96], Marouane Chamakh [kwa mkopo kwenda West Ham] , Chuks Aneke [kwa mkopo kwenda Crewe], Emmanuel Frimpong [kwa mkopo kwenda Fulham]

ASTON VILLA
Aliyeingia: Yacouba Sylla [Paundi milioni 2 kutoka Clermont Foot],

Aliyeondoka: Stephen Warnock [bure kwenda Leeds]

CHELSEA

Demba Ba
 
Aliyeingia: Demba Ba [ada haitajwi, lakini inaaminika kuwa ni paundi milioni 7, akitokea Newcastle]

Walioondoka: Lucas Piazon [kwa mkopo kwenda Malaga], Sam Walker [kwa mkopo kwenda Colchester], Billy Clifford [kwa mkopo kwenda Colchester], Todd Kane [kwa mkopo kwenda Blackburn], Daniel Sturridge [kwa ada isiyotajwa, inayoaminika kuwa paundi milioni 12, kwenda Liverpool], Patrick Bamford [kwa mkopo kwenda MK Dons]

EVERTON
Aliyeingia: John Stones [Bei haitajwi, inaaminika kuwa paundi milioni 3]

Waliotoka: Ross Barkley [kwa mkopo kwenda Leeds], Anton Forrester [bure kwenda Blackburn Rovers], Magaye Gueye [kwa mkopo kwenda Brest]

FULHAM
Walioingia: Chris David [bei haitajwi kutoka FC Twente] , Emmanuel Frimpong [kwa mkopo kutoka Arsenal], Urby Emanuelson [kwa mkopo kutoka AC Milan], Stanislav Manolev [kwa mkopo kutoka PSV Eindhoven]

Walioondoka: David Stockdale [kwa mkopo kwenda Hull], Stephen Kelly [bei haitajwi kwenda Reading]

LIVERPOOL

Daniel Sturridge
 
Walioingia: Daniel Sturridge [bei haitajwi, inaaminika paundi milioni 12, kutoka Chelsea], Philippe Coutinho [paundi milioni 8.5 kutoka Inter Milan]

Walioondoka: Danny Wilson [kwa mkopo kwenda Hearts], Nuri Sahin [amerejea Real Madrid, kisha kwenda Borussia Dortmund], Joe Cole [bure kwenda West Ham], Adam Morgan [kwa mkopo kwenda Rotherham] , Alexander Doni [kwa mkopo kwenda Botafogo], Michael Ngoo [kwa mkopo kwenda Hearts]

MANCHESTER CITY

 



Aliyeingia: Godsway Donyoh [Bei haijawi]

Walioondoka: Mario Balotelli [paundi milioni 19 kwenda AC Milan], Alex Nimely [kwa mkopo kwenda Crystal Palace], Godsway Donyoh [kwa mkopo kwenda Djurgarden], Jeremy Helan [kwa mkopo kwenda Sheffield Wednesday], Reece Wabara [kwa mkopo kwenda Blackpool]

MANCHESTER UNITED

Wilfried Zaha
 
Aliyeingia: Wilfried Zaha [paundi milioni 10 + paundi milioni 5 za ziada kutoka Crystal Palace]

Walioondoka: Davide Petrucci [kwa mkopo kutoka Peterborough], Scott Wootton [kwa mkopo kwenda Peterborough], Robbie Brady [bei haitajwi, inaaminika kuwa paundi milioni 2, kwenda Hull], Angelo Henriquez [kwa mkopo kwenda Wigan], Josh King [bei haitajwi kwenda Blackburn], Luke McCullough [kwa mkopo kwenda Cheltenham], Wilfried Zaha [kwa mkopo kwenda Crystal Palace], Federico Macheda [kwa mkopo kwenda Stuttgart]

NEWCASTLE

Mapou Yanga-Mbiwa
 
Walioingia: Mathieu Debuchy [bei haitajwi, inaaminika kuwa paundi milioni 5, kutoka Lille], Kevin Mbabu [bei haitajwi kutoka Servette], Moussa Sissoko [bei haitajwi kutoka Toulouse], Massadio Haidara [bei haitajwi kutoka Nancy], Yoan Gouffran [bei haitajwi kutoka Bordeaux], Mapou Yanga-Mbiwa [bei haitajwi, inaaminika kuwa paundi milioni 6.7, kutoka Montpellier]

Walioondoka: Demba Ba [bei haitajwi, inaaminika kuwa paundi milioni 7, kwenda Chelsea], Conor Newton [kwa mkopo kwenda St Mirren], Xisco [bure kwenda Cordoba]

NORWICH
Walioingia: Luciano Becchio [kubadilishana wachezaji kutoka Leeds], Kei Kamara [kwa mkopo kutoka Sporting Kansas City]

Walioondoka: Jacob Butterfield [kwa mkopo kwenda Crystal Palace], Elliott Ward [kwa mkopo kwenda Nottingham Forest] , Steve Morison [kubadilishana wachezaji kwenda Leeds], Declan Rudd [kwa mkopo kwenda Preston]

QPR

Loic Remy
Christopher Samba
 
Walioingia: Loic Remy [bei haitajwi, inaaminika kuwa paundi milioni 8, kutoka Marseille], Tal Ben Haim [haijaambatanishwa], Christopher Samba [paundi milioni 12.5 kutoka Anzhi Makhachkala], Yun Suk-young [bei haitajwi kutoka Chunnam Dragons], Jermaine Jenas [bei haitajwi kutoka Tottenham], Andros Townsend [mkopo kutoka Tottenham]

Walioondoka: Djibril Cisse [kwa mkopo kwenda Al Gharafa], Anton Ferdinand [kwa mkopo kwenda Bursaspor], Frankie Sutherland [kwa mkopo kwenda Portsmouth], Michael Harriman [kwa mkopo kwenda Wycombe], Alejandro Faurlin [kwa mkopo kwenda Palermo], Michael Doughty [kwa mkopo kwenda St Johnstone], Jordan Gibbons [kwa mkopo kwenda Inverness CT], Rob Hulse [kwa mkopo kwenda Millwall],

READING
Walioingia: Stephen Kelly [bei haitajwi kutoka Fulham], Hope Akpan [bei haitajwi kutoka Crawley], Nick Blackman [bei haitajwi kutoka Sheffield United]

Walioondoka: Gozie Ugwu [kwa mkopo kwenda Plymouth], Dominic Samuel [kwa mkopo kwenda Colchester], Jordan Obita [kwa mkopo kwenda Oldham], Michael Hector [Anton Ferdinand [kwa mkopo kwenda Bursaspor] 

SOUTHAMPTON
Walioingia: Vegard Forren [bei haitajwi kutoka Molde]

Walioondoka: Dan Seaborne [kwa mkopo kwenda  Bournemouth], Ryan Dickson [kwa mkopo kwenda  Bradford], Sam Hoskins [kwa mkopo kwenda Stevenage], Jonathan Forte [kwa mkopo kwenda Sheffield United], Steve de Ridder [kwa mkopo kwenda Bolton]

STOKE
Walioingia: Jack Butland [paundi milioni 3.5 kutoka Birmingham], Brek Shea [paundi milioni 2.5 kutoka FC Dallas]

Walioondoka: Michael Tonge [bei haitajwi kwenda Leeds], Danny Higginbotham [bur kwenda Sheffield United], Rory Delap [kwa mkopo kwenda Barnsley], Ryan Brunt [bei haitajwi kwenda Bristol Rovers], Jack Butland [kwa mkopo kwenda Birmingham], Matthew Upson [kwa mkopo kwenda Brighton]

SUNDERLAND
Walioingia: Kader Mangane [kwa mkopo kutoka Al Hilal], Alfred N'Diaye [bei haitajwi kutoka Bursaspor], Danny Graham [paundi milioni 5 kutoka Swansea]

Walioondoka: Blair Adams [bei haitajwi kwenda Coventry], David Meyler [bei haitajwi, inaaminika kuwa paundi milioni 1.5, kwenda Hull], Ahmed Elmohamady [kwa mkopo kwenda Hull City], Jonny Maddison [loan to Crawley], Fraizer Campbell [undisclosed, believed to be £650,000, to Cardiff City]

SWANSEA
Walioingia: Hamna

Walioondoka: Jamie Proctor [bei haitajwi kwenda Crawley], Danny Graham [paundi milioni 5 kwenda Sunderland], Curtis Obeng [kwa mkopo kwenda York City], Leroy Lita [kwa mkopo kwenda Sheffield Wednesday], Ashley Richards [kwa mkopo kwenda Crystal Palace] , Gwion Edwards [kwa mkopo kwenda St Johnstone]

TOTTENHAM

Heurelho Gomes
 
Walioingia: Lewis Holtby [imeripotiwa paundi milioni 1.5 kutoka Schalke], Zeki Fryers [paundi milioni 3 kutoka Standard Liege]

Walioondoka: Heurelho Gomes [kwa mkopo kwenda Hoffenheim], Alex Pritchard [kwa mkopo kwenda Peterborough], Jermaine Jenas [bei haitajwi kwenda QPR], Andros Townsend [kwa mkopo kwenda QPR]

WEST BROM
Walioingia: Hamna

Walioondoka: Sam Mantom [bure kwenda to Walsall], Gonzalo Jara [kwa mkopo kwenda Nottingham Forest], Chris Wood [bei haitajwi, inaaminika paundi milioni 1, kwenda Leicester], Craig Dawson [kwa mkopo kwenda Bolton]

WEST HAM

Marouane Chamakh
 
Walioingia: Wellington Paulista [kwa mkopo kutoka  Cruzeiro], Marouane Chamakh [kwa mkopo kutoka Arsenal], Joe Cole [bure kutoka Liverpool], Sean Maguire [bei haitajwi kutoka Waterford United]

Walioondoka: Alou Diarra [kwa mkopo kwenda Rennes]

WIGAN
Walioingia: Joel Robles [kwa mkopo kutoka Atletico Madrid], Roger Espinoza [bure kutoka Sporting Kansas City], Angelo Henriquez [kwa mkopo kutoka  Manchester United], Paul Scharner [kwa mkopo kutoka Hamburg]

Walioondoka: Rob Kiernan [kwa mkopo kwenda Brentford] , Mauro Boselli [kwa mkopo kwenda Palermo] 

CHANZO:STRIKAMKALI

No comments:

Post a Comment