STRIKA

STRIKA

USILIKOSE

USILIKOSE

Sunday, June 2, 2013

Abajalo yang'oka RCL, yalala 1-0 Ilulu

TIMU ya soka ya Abajalo imeng'olewa kwenye michuano ya Ligi ya Mabingwa wa Mikoa (RCL) baada ya kulazwa bao 1-0 na Kariakoo Lindi katrika mechi ya marudiano lililochezwa uwanja wa Ilulu.
Katika pambano lililochezwa wiki iliyopita timu hizo zilishindwa kutambiana baada ya kufungana mabao 2-2 na hivyo,  Abajalo iomeng'olewa kwenye hatua hiyo ya pili kwa jumla ya mabao 3-2.

No comments:

Post a Comment