STRIKA

STRIKA

USILIKOSE

USILIKOSE

Monday, August 5, 2013

Azam kuikabili Kaizer Chiefs 'Bondeni'

Wachezaji wa Azam wakiwa katika picha tofauti nchini Afrika Kusini, jioni hii wataumana na Kaizer Chiefs


MAKAMU bingwa wa Ligi Kuu ya Vodacom (VPL), Azam wanaanza rasmi ziara ya mechi za kirafiki nchini Afrika Kusini leo kwa kuikabili timu ya Kaiser Chiefs ambayo inacheza Ligi Kuu ya nchi hiyo (PSL).
Kwa mujibu wa Ofisa Habari wa Azam, Jaffer Idd aliyefutana na timu hiyo, mechi hiyo inachezwa jijini Johannesburg, likiwa ni pambano la kwanza kati ya manne ambayo Azam itajipima nguvu nchini humo ilipoenda kuweka kambi ya muda kujiandaa na msimu mpya wa Ligi Kuu inayoanza Agosti 24.
Mechi nyingine ambazo Azam itacheza ni ya keshokutwa dhidi ya Orlando Pirates, Mamelodi Sondowns na Moroka Swallows.

No comments:

Post a Comment