STRIKA

STRIKA

USILIKOSE

USILIKOSE

Monday, August 5, 2013

Njemba yanusurika kufa kisa ujambazi

Jambazi likiwa hoi baada ya kichapo kutoka kwa wanachi.
Jambazi hilo likihojiwa.
Mmoja wa wanausalama (mwenye tisheti yenye mistari) akiwa na bastola aliyokutwa nayo jambazi huyo.
Wananchi wakiwa eneo hilo la tukio.
Wanausalama wakishauriana jambo kabla ya kulipiga pingu jambazi na kulipeleka hospitali.
Baada ya kichapo kikali jambazi lilipelekwa katika hospitali ya Mwananyamala kwa matibabu.

GPL

No comments:

Post a Comment