STRIKA

STRIKA

USILIKOSE

USILIKOSE

Tuesday, October 15, 2013

Siri yafichuka viungo bandia vya binadamu vilivyonaswa Kenya

HATIMAYE mmiliki wa kasha la mizigo lililonaswa katika Bandari ya Mombasa likiwa na sanamu za vibwengo vya kutisha, amejulikana.
Kwa mujibu wa taarifa rasmi, kampuni ya 'Market Masters' wanaomiliki maduka ya Village Market jijini Nairobi wamekiri kuagiza shehena hiyo kwa sherehe zao za kila mwaka. 
Wakati huo huo, mwanasiasa Omingo Magara amekanusha kuagiza shehena hiyo na akaitaka halmashauri ya ushuru nchini KRA kumuomba msamaha mara moja.
Aidha katika habari nyingine zilizonaswa zinasema kuwa huenda pia sanamu hizo nyingine zingekuja nchini Tanzania.

 Xdeejayz

No comments:

Post a Comment