STRIKA

STRIKA

USILIKOSE

USILIKOSE

Tuesday, October 15, 2013

Waislam wakiungana na wenzao ulimwenguni kuswali Eid El Hajj leo

Waumini wa Kiislam wakisikiliza hotuba mbili za Eid el Hajj leo asubuhi
Sheikh akitoa hotuba baada ya sala ya eid leo
Waumini wakiwa katika iktidar wakati wa Swala ua Eid leo
Waumini wakisudu katika swala la Eid iliyoswaliwa viwanja vya Jangwani na maeneo mengine pamoja na misikiti kadhaa inayofuata kalenda ya Kiislam ambapo leo inaoonyesha ni Mwezi 10 Mfungo Tatu
WAUMINI wa kiislam wa nchini Tanzania leo wameungana na waumini wengine wa dini hiyo duniani kuswali swala ya Eid El Hajj kuashiria kumalizika kwa ibada ya Hijja ambapo Mahujaji leo wanachinja wanyama baada ya jana kusimama Arafa.
Karibu dunia nzima wapo katika shamrashamra hizo za Eid tofauti na hapa Tanzania ambapo baadhi wanakusudia kusherehekea kesho kwa mujibu wa Baraza Kuu la Kiislam Tanzania (BAKWATA) waliowatangazia waumini Eid ni kesho Jumatano...! MICHARAZO iunawatakia waumini woite Eid Njema Inshallah.

No comments:

Post a Comment